0 0
Read Time:15 Second

Na Mwandishi wetu K@2021

Taarifa zilizo tufikia kutoka Kwazulu Natal South Africa,zinasema kijana Mtanzania aliyetambulika kwa jina la EMMANUEL EVARIST MOGELLA ameariki baada ya kugongwa na gari.Ajali hiyo imetoka Leo Kwa Zulu Natal. Wabongo ughaibuni Bado tunafuatlia taarifa zaidi. Mungu amrehemu.

Marehemu EMMANUEL EVARIST MOGELLA
Happy
Happy
0 %
Sad
Sad
0 %
Excited
Excited
0 %
Sleepy
Sleepy
0 %
Angry
Angry
0 %
Surprise
Surprise
0 %