GREECE:HARUSI YA ASHRAF & CHIKU .
Kwa picha zaidi za harusi tembelea facebook ya WATANZANIA UGIRIKI Blog ya jamii inawatakia kila la kheri maharusi. WABONGO UGHAIBUNI
Kwa picha zaidi za harusi tembelea facebook ya WATANZANIA UGIRIKI Blog ya jamii inawatakia kila la kheri maharusi. WABONGO UGHAIBUNI
Jumuiya ya Watanzania Ugiriki (Greece) inasikitika kutangaza kifo cha mwenzetu SAIDI HASSAN MGOI (pichani) (Maarufu kwa jina la CHANCE)kilichotokea hospitali ya mjini Piraeus J’tatu 1/8/2011. Marehemu kabla ya kuwasili ugiriki…
KIJIJI cha Uduru wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kimegeuka eneo la utalii baada ya waumini wa madhehebu ya Kiislamu kutoka maeneo mbalimbali wilayani humo na maeneo jirani, kwenda kumshuhudia kondoo aliyezaliwa…
KWA WADAU WA UGHAIBUNI NA NYUMBANI WENYE UJUZI WA MCHEZO WA BAO KIBA (Klubo internacia de Bao-amantoj)inaandaa Mashindano ya Kimataifa ya Nne ya Mchezo wa Bao KIBA (Klubo internacia de…
Scientist ‘kept girl of 21 as a slave’ A SCIENTIFIC researcher used a 21-year-old she flew in from Africa as her unpaid slave, a court heard yesterday. Rebecca Balira…
WATANZANIA ITALY Watanzania walishiriki katika mashindano ya mpira wa miguu yaliyoandaliwa kwa ajili ya kupinga ubaguzi wa rangi ambao bado upo katika jamii ughaibuni. Timu ya Tanzania ikiongozwa na mwenyekiti…
ARUSHA (TANZANIA), July 10 (NNN-DAILYNEWS) — Tanzanians living abroad illegally and who are afraid of returning back lest they be prosecuted as illegal immigrants will soon have nothing to fear.…
Katibu wa jumuiya ya Watanzania Italia tawi la MODENA ndugu Mwinyimwaka Hatibu akipata kumbukumbu na baadhi ya Watanzania katika sherehe. Banda la Tanzania (Jumuiya ya Watanzania Italia) lameremeta katika sherehe…
Napenda kuchukua nafasi hii kuwakaribisha wadau wote ili kuchangia habari na matukio yote ya Watanzania ughaibuni.Kwa matangazo ya aina zote tafadhali usisite kuwasiliana nasi. Pia tunahitaji wadau watakao kuwa Administrators,…