EQUITY DIASPORA ACCOUNT
For any Inquiries write to us tanzanians.abroad@equitybank.co.tz WABONGO UGHAIBUNI
MSIBA DMV NA KENTUCKY
Mtanzania mwenzetu David Ismail amepatwa na mauti Jumatatu June 1, 2020 DMV katika Hospitali ya Suburban, marehemu David Ismail alikua mkazi wa Kentucky alikua akihamia DMV kuanza maisha mapya, aliwasili…
MICHANGO KWA AJILI YA VIFAA -COVID-19 KUTOKA DIASPORA
Updated Report Total amount collected $30,724 includes $4,387 from NC. Gofundme fee is 2.9% plus 30 cents per donation.Total after fees is $ 29,824.30 Campaign ended May 31. We are…
Dhibiti Mlipuko: COVID-19 Tanzania
https://www.gofundme.com/f/dhibiti-mlipuko-covid19-tanzania Dhibiti Mlipuko: COVID-19 Tanzania Mlipuko wa Corona unatishia usalama wa maisha ya Wataanzania walio wengi. Bila tahadhari ya haraka na ya kutosha, wengi wanaweza kupata maambukizi, na hata kupoteza…
URGENT COVID-19 APPEAL FOR TANZANIA
Mimi Dr Asha Migiro, balozi wenu wa Tanzania nchini Uingereza, pia ni mlezi wa Tanzania UK Healthcare Diaspora Association (TUHEDA). Napenda kuwahamasisha watanzania wenzangu pamoja na marafiki kutoa michango ya…








