WABONGO UGHAIBUNI
  • adminadmin
  • July 3, 2013
  • 0 Comments
Mtanzania ajinyonga nchini Urusi!

Habari ambazo  zlizopatikana  kutoka kwa baadhi ya Watanzania waishio Saint Petersburg, Urusi, ni kwamba Mtanzania aliyeweka makazi yake mjini hapo kwa muda mrefu Ndg. Shabani Japhari ameaga dunia kwa kujinyonga. Akituma…

  • adminadmin
  • April 26, 2013
  • 1 Comments
TANGAZO LA MSIBA NEW JERSEY-USA

TAFADHALI SAIDIA  KUTO ATAAEIFA KAMA UNAWAJUA NDUGU WA MAREHEMUTunaomba mtupostie tangazo hili katika blog zenu kama blog yako ni ya habari mbalimbali. Kuna kijana amefariki New Jersey, USA. Kijana aliyefariki…

  • adminadmin
  • April 4, 2013
  • 1 Comments
UCHAGUZI JUMUIYA YA WATANZANIA GREECE

JUMUIYA YA WATANZANIA UGIRIKI ILIFANYA UCHAGUZI WAKE MKUU WA KUCHAGUA VIONGOZI NA WAJUMBE WA JUMUIYA HIYO SIKU YA JUMAMOSI TAREHE.23/04/2013, UCHAGUZI HUO ULISIMAMIWA VIZURI NA TUME MAALUM ILIYOCHAGULIWA CHINI YA…