Mtanzania ajinyonga nchini Urusi!
Habari ambazo zlizopatikana kutoka kwa baadhi ya Watanzania waishio Saint Petersburg, Urusi, ni kwamba Mtanzania aliyeweka makazi yake mjini hapo kwa muda mrefu Ndg. Shabani Japhari ameaga dunia kwa kujinyonga. Akituma…
GERMANY: Sherehe za miaka 49 ya muungano wa Tanzania!
Siku ya Jumamosi tarehe 27.04.2013 Watanzania wanaoishi Ujerumani, chini ya mwamvuli wa umoja wao (UTU) waliuhakikishia ulimwengu kuwa neno “MUUNGANO” lina maana kamili kwa maisha ya Mtanzania na binadamu wengine.Sherehe…
TANGAZO LA MSIBA NEW JERSEY-USA
TAFADHALI SAIDIA KUTO ATAAEIFA KAMA UNAWAJUA NDUGU WA MAREHEMUTunaomba mtupostie tangazo hili katika blog zenu kama blog yako ni ya habari mbalimbali. Kuna kijana amefariki New Jersey, USA. Kijana aliyefariki…
UCHAGUZI JUMUIYA YA WATANZANIA GREECE
JUMUIYA YA WATANZANIA UGIRIKI ILIFANYA UCHAGUZI WAKE MKUU WA KUCHAGUA VIONGOZI NA WAJUMBE WA JUMUIYA HIYO SIKU YA JUMAMOSI TAREHE.23/04/2013, UCHAGUZI HUO ULISIMAMIWA VIZURI NA TUME MAALUM ILIYOCHAGULIWA CHINI YA…
Watanzania Ujerumani Kusherekea Miaka 49 ya Muungano
Watanzania Ujerumani kusherekea miaka 49 ya Muungano UMOJA wa Watanzania Ujerumani (UTU) unatarajia kufanya sherehe za miaka 49 ya Muunganowa Bara na Visiwani, kama linavyoonekana tangazo unatarajia kufanya sherehe hizo Mjini…
Mtanzania afia Uwanja wa Ndege nchini China
KIFO CHA KITATANISHI CHA MBONGO CHINA!! NI KIZAAA ZAAAAA!! “Tangu alipofariki madaktari walisema ripoti ingetolewa baada ya siku saba ambazo ziliisha Jumatatu, mpaka sasa hiyo ripoti hatujaipata lakini Mwambata wa…
BENDERA TA TANZANIA YAPEPEA VATICAN
Wadau wakipeperusha bendera ya Tanzania Vatican, ni baadhi ya Watanzania waliohudhuria na kutuwakilisha katika sherehe za kupatikana Papa mpya. WABONGO UGHAIBUNI








