GERMANY: Sherehe za miaka 49 ya muungano wa Tanzania!
Siku ya Jumamosi tarehe 27.04.2013 Watanzania wanaoishi Ujerumani, chini ya mwamvuli wa umoja wao (UTU) waliuhakikishia ulimwengu kuwa neno “MUUNGANO” lina maana kamili kwa maisha ya Mtanzania na binadamu wengine.Sherehe…








