WAZIRI KOMBO AWASILI KOSOVO KWA ZIARA RASMI
PRISHTINA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasili jijini Prishtina nchini Kosovo kwa ajili ya kuanza ziara rasmi pamoja na kushiriki…
PRISHTINA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasili jijini Prishtina nchini Kosovo kwa ajili ya kuanza ziara rasmi pamoja na kushiriki…
Na Kagutta Maulidi Mkutano Mkuu maalumu wa Chama cha Mapinduzi 2025 Mkutano mkuu Maalumu wa chama cha mapinduzi ulioanza tarehe 29/05/2025 na kuhitimishwa tarehe 30/05/2025 siku ya Ijumaa katika ukumbi…
Dar Es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo(Mb.), ameshiriki katika Mhadhara wa Siku ya Afrika(African Day Lecture) uliofanyika jijini Dar es…
VATICAN Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Vatican mwenye makazi jijini Berlin, Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta, amewasilisha salamu za pongezi na kheri za Rais wa Jamhuri ya Muungano…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amewasili Geneva katika kampeni ya kusaka kura za mgombea wa Tanzania Prof. Mohammed Janabi katika…
Dar Es Salaam TANZANIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo(Mb.), amesisitiza dhamira ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kuimarisha…
Berlin GERMANY Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametembelea Ubalozi wa Tanzania Berlin, Ujerumani na kupokelewa…
Kampala UGANDA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mjumbe maalum, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Kampala Uganda na kupokelewa na Balozi wa Jamhuri…
Moscow “Hatuko hapa kuomba usaidizi wa kifedha au nafasi za masomo kwa masomo nje ya nchi”. “Hatuko hapa kuomba usaidizi wa kifedha au nafasi za udhamini wa masomo nje ya…
Abijan IVORY COAST Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb.) amewasili nchini Ivory Coast kumwakilisha Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Siku mbili wa Maafisa Watendaji Wakuu wa…