BALOZI MBELWA KAIRUKI AISHUKURU KAMPUNI YA JUSTFITTZ KWA KUDHAMINI SWAHILI UK FOOTBALL BONANZA
UK Balozi Mbelwa atoa shukrani za dhati kwa Kampuni ya @JustFittz ya jijini Dar es Salaam kwa kudhamini mashindano ya Swahili UK Football Bonanza yatakayofanyika katika mji wa Leeds tarehe…


















