WAZIRI KOMBO AWASILI NCHINI VIETNAM KWA ZIARA YA KIKAZI
Hanoi VIETNAM Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Hanoi, Vietnam kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia…
Hanoi VIETNAM Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Hanoi, Vietnam kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia…
Vatican Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema namna bora ya kumuenzi aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani hayati. Baba Mtakatifu Francisko…
Vatican Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isidori Mpango amewasili katika Viwanja vya Santa Pedro, Vatican tayari kwa kushiriki maadhimisho ya Misa ya Mazishi…
Vatican (Photo) | Mhe. Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr. Philip Isidor Mpango akiwa pamoja na Mhe. Rais wa Finland, Aleksander Stubb katika Mazishi ya Baba Mtakatifu ambapo…
WAZIRI KOMBO AMPOKEA MAKAMU WA RAIS DKT. MAPANGO JIJINI ROMA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amempokea Makama wa Rais wa…
Roma, Italia Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili Jijini Roma nchini Italia ambapo anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Sweden, Bi.…
Rais wa Jamhuri ya Finland Alexander Stubb na mke wake Suzanne Innes-Stubb wanatarajiwa kufanya ziara ya kiserikali Mei 14 – 15 nchini Tanzania Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ubalozi…
Angola, April 25, 2025 In a momentous achievement for Tanzanian diplomacy and regional cooperation, Tanzanian Dr. Deo Mwapinga has been appointed as the new Secretary General of the Forum of…
Dar Es Salaam TANZANIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameshiriki katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya kuzaliwa kwa Mfalme…