TOKA LINI SPIKA NDIE ANAWAELEKEZA MAWAZIRI NA SIO MIJADALA
Na Dr Yahya Msangi Kwa muda sasa haswa baada ya kifo cha JPM (Allah amrehemu) spika bunge la JMT amekuwa anatoa kauli zenye ukakasi. Alianza na suala la bandari. Juzi…
Dk Mwinyi: Chanjo ya corona si lazima ni hiari
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona ni hiari na hakuna mtu yeyote atakayelazimishwa.Rais Mwinyi ameyasema hayo leo Jumamosi Mei…
MKUU WA MAJESHI WA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA JENERALI VENANCE MABEYO ATEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA- PRETORIA
Jumamosi 29 Mei, 2021 Imetayarishwa na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pretoria Mkuu wa Majeshi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo, alitembelea Ubalozi wa Jamhuri ya…
UBADHIRIFU ZAIDI YA BILIONI MOJA WAZIRI MKUU ASIMAMISHA VIGOGO WIZARA YA FEDHA
Waziri Mkuu Majaliwa Awasimamisha Kazi Vigogo Wizara ya FedhaMwananchiMay 28, 2021Dar es Salaam. Waziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi mkaguzi mkuu, mkaguzi msaidizi na baadhi ya watendaji wa…
EQUITY DIASPORA BANKING
WELCOME TO EQUITY DIASPORA BANKING Equity Bank offers a wide range of services to suit your banking needs while you are living and working abroad.At Equity Bank, we guarantee you…
KURUNZI YA DOMO ZEGE!
Tabasamu na Ukimya ni zana mbili zenye nguvu. Tabasamu ndiyo njia pekee ya kutatua shida Na Ukimya ndiyo njia pekee zaidi ya kuepuka shida. TUWE NA NYUSO ZA TABASAMU LAKINI…
KURUNZI YA DOMO ZEGE!
KURUNZI YA DOMO ZEGE! Unapofika wakati wa kusamehe Kimsingi huwa Tunapaswa kuwasamehe wengine! “Hii siyo kwa sababu wote wanaosamehewa huwa wanastahili msamaha bali kwasababu wakati mwingine tunasamehe ili kupata amani…
TANZANIA: KAMA HATUKUWAELEWA VIZURI NYERERE NA KARUME, TUMSOME NYE
Na Abbas Mwalimu (0719258484). Alhamisi tarehe 27 Mei, 2021. Tanzania ina nafasi kubwa sana ya kuwa dola/nchi kiranja/kiongozi Afrika endapo tutaamua kutumia nafasi ya lugha ya Kiswahili kama nyenzo ya…
KURUNZI YA DOMO ZEGE!
KURUNZI YA DOMO ZEGE! “Jambo jema na lenye baraka ni kusaidia wahitaji pasipokuchoka huku tukijua kuwa Mungu hajachoka kutuinua ndiyo maana bado tuko kwenye nafasi ya kuwasaidia wengine!!!” TUTAFAKARI PAMOJA!!!!…
















