Taarifa ya Msiba wa Bwana Aziz Sheween
Marehemu Aziz Sheween (kushoto) akiwa kwenye mazungumzo ya kikazi na Mwana wa Mfalme wa Saudi Arabia (HRH Prince Alwaleed Bin Talal bin Abdulaziz Alsaud) wakati wa uhai wake. Katibu Mkuu wa…
Marehemu Aziz Sheween (kushoto) akiwa kwenye mazungumzo ya kikazi na Mwana wa Mfalme wa Saudi Arabia (HRH Prince Alwaleed Bin Talal bin Abdulaziz Alsaud) wakati wa uhai wake. Katibu Mkuu wa…
SALAM ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA,TAREHE 31 DESEMBA, 2011 Ndugu Wananchi; Leo tunauaga mwaka 2011 na kuukaribisha mwaka…
Tanzania Music Television (TMTV) ni TV ambayo unaweza kuiona Online na pia ktk DECODER. TMTV itazinduliwa hivi karibuni pindi maandalizi yatakapokuwa tayari. Kwasasa waweza kuendelea kuangalia Chanel hii bure kupitia…
Kwa Wadau wote! Happy New year Bendi ya muziki wa dansi Ngoma Africa band aka FFU yenye makao yake Ujerumani, Inatoa salam za heri ya mwaka mpya 2012 kwa…
Pichani malkia wa mipasho HADIJA KOPA akiwa na watoto wa Kitanzania mjini Athens Greece kabla ya kuwapa burudani . WABONGO UGHAIBUNI
Blog hii ya WABONGO UGHAIBUNI kwa niaba ya wadau wote Ughaibuni tunawatakia kila la heri na baraka ya mwaka mpya!!!GOD BLESS YOU!!!! WABONGO UGHAIBUNI
Picha ya chini ni MC Lady Judy akiingia kulianzisha, Lady Judy ni mahiri sana katika kuendesha sherehe na matukio mbalimbali Italy kwani ana kipaji cha pekee, wengine huwa wanamuuliza kwa…
Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayeitwa Steina Mrema ambaye alikuwa ni mkazi wa jimbo la Pennslyvania nchini Marekani amefariki dunia siku ya tarehe 21/12/2011 mjini Washington, D.C. Mipango ya…
Hadija Kopa akiwa na Lady Judy ambae ndie aliyekuwa msimamizi mkuu wa show nzima. Wadau wakichiazi baada ya kumfikisha malkia wa mipasho Hotelini Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Italia Abdulrahamani…
Baada ya kumaliza kutumbuiza Amsterdam na Napoli, bi Kopa alirejea tena Athens 26/12 na kukutana na watanzania pamoja na watoto wao katika ofisi ya jumuiya. Alipomaliza kusaini kitabu cha wageni…