GREECE: HADIJA KOPA
Pichani malkia wa mipasho HADIJA KOPA akiwa na watoto wa Kitanzania mjini Athens Greece kabla ya kuwapa burudani . WABONGO UGHAIBUNI
Pichani malkia wa mipasho HADIJA KOPA akiwa na watoto wa Kitanzania mjini Athens Greece kabla ya kuwapa burudani . WABONGO UGHAIBUNI
Blog hii ya WABONGO UGHAIBUNI kwa niaba ya wadau wote Ughaibuni tunawatakia kila la heri na baraka ya mwaka mpya!!!GOD BLESS YOU!!!! WABONGO UGHAIBUNI
Picha ya chini ni MC Lady Judy akiingia kulianzisha, Lady Judy ni mahiri sana katika kuendesha sherehe na matukio mbalimbali Italy kwani ana kipaji cha pekee, wengine huwa wanamuuliza kwa…
Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayeitwa Steina Mrema ambaye alikuwa ni mkazi wa jimbo la Pennslyvania nchini Marekani amefariki dunia siku ya tarehe 21/12/2011 mjini Washington, D.C. Mipango ya…
Hadija Kopa akiwa na Lady Judy ambae ndie aliyekuwa msimamizi mkuu wa show nzima. Wadau wakichiazi baada ya kumfikisha malkia wa mipasho Hotelini Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Italia Abdulrahamani…
Baada ya kumaliza kutumbuiza Amsterdam na Napoli, bi Kopa alirejea tena Athens 26/12 na kukutana na watanzania pamoja na watoto wao katika ofisi ya jumuiya. Alipomaliza kusaini kitabu cha wageni…
Wabongo Ughaibuni Blog inapenda kuwatakia wadau wote heri ya sikukuu ya kuzaliwa kwa JESUS CHRIST na mwaka mpya 2012!! tunawashukuru sana kwa kuwa pamoja katika kuendeleza libeneke hili. Wabongo Ughaibuni…
Malkia wa Mipasho HADIJA KOPA tayari yuko Greece kwa ajili ya show Europe. Malkia wa mipasho atakuwepo Greece, Holland na baadae siku ya X-MASS atapagawisha mjini Napoli Italy. ni mara…
MALKIA WA MIPASHO BI KHADIJA KOPA ATAKUWEPO MJINI NAPOLI SIKU YA TAREHE 25 DECEMBER 2011 KATIKA SHOW YA NGUVU KWA AJILI YA X-MASS. NI MARA YA KWANZA MSANII WA TAARABU…
Baadhi ya Watanzania waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika(Tanzania bara) mjini Rome wakipata picha ya kumbukumbu na kaimu Balozi wa Tanzania Rome(c) Mh Mbilinyi. picha zaidi tembelea…