SHEREHE ZA UHURU ITALY
Pichani Mh.Mbilinyi aliyezungukwa na Watanzania akikata keki ya miaka hamsini ya uhuru ,katika sherehe zilizofanyika mjini Rome siku ya tarehe 9/12 WABONGO UGHAIBUNI
Pichani Mh.Mbilinyi aliyezungukwa na Watanzania akikata keki ya miaka hamsini ya uhuru ,katika sherehe zilizofanyika mjini Rome siku ya tarehe 9/12 WABONGO UGHAIBUNI
Picha zaid tembelea WATANZANIA UTURUKI WABONGO UGHAIBUNI
picha zaidi tembelea WATANZANIA NORWAY WABONGO UGHAIBUNI
Mheshimiwa Leonce Uwandameno akitoa kikombe kwa mshindi wa kwanza wa Mashindano ya Kimataifa ya Nne ya mchezo wa Bao la Kiswahili yaliyofanyika mjini Roma mwezi wa Septemba, 2011. Wachezaji kumi…
Msanii maarufu nchini Tanzania wa muziki wa kizazi kipya Bongo Flava anayeitwa Abel Loshilaa Motika au kama anavyojulikana na wengi kwa jina lake la kimuziki Mr. Ebbo amefariki dunia. Msanii huyo alifariki dunia…
Kaimu balozi wa ubalozi wa Tanzania Italy, Mh. Salvator Mbilinyi, anapenda kuwafahamisha viongozi wa Jumuiya zote za Watanzania nchini Italy kuwa, ijumaa tarehe 25 Nov. 2011, kutakuwa na mkutano wa…
Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkazi wa mji wa Lansing katika jimbo la Michigan nchini Marekani anaeitwa Nasibu Juma Manyala amefariki dunia. Mtanzania huyo alifariki dunia siku ya tarehe 22/10/2011…
Hawa ndio viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Rome. Kutoka kushoto ni Mjumbe Bakari Hizza, Diana Olotu(Katibu msaidizi) Andrew Chole Mhella( Katibu)Leonce Uwandameno (mwenyekiti), Awadhi Suleiman(Mweka hazina)na mwisho ni Erasmus Luhoyo…