WABONGO UGHAIBUNI
  • adminadmin
  • December 8, 2011
  • 0 Comments
Mr. Ebbo amefariki dunia!

Msanii maarufu nchini Tanzania wa muziki wa kizazi kipya Bongo Flava anayeitwa Abel Loshilaa Motika au kama anavyojulikana na wengi kwa jina lake la kimuziki Mr. Ebbo amefariki dunia. Msanii huyo alifariki dunia…

  • adminadmin
  • November 22, 2011
  • 0 Comments
Mtanzania Afariki Dunia Michigan, USA

Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkazi wa mji wa Lansing katika jimbo la Michigan nchini Marekani anaeitwa Nasibu Juma Manyala amefariki dunia. Mtanzania huyo alifariki dunia siku ya tarehe 22/10/2011…

  • adminadmin
  • November 21, 2011
  • 0 Comments
MKUTANO WA JUMUIYA YA WATANZANIA ROME WAFANA

Hawa ndio viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Rome. Kutoka kushoto ni Mjumbe Bakari Hizza, Diana Olotu(Katibu msaidizi) Andrew Chole Mhella( Katibu)Leonce Uwandameno (mwenyekiti), Awadhi Suleiman(Mweka hazina)na mwisho ni Erasmus Luhoyo…

  • adminadmin
  • November 5, 2011
  • 0 Comments
SALAAM ZA EID

  Blog ya WABONGO UGHAIBUNI inawatakia kila la heri na baraka za Eid WABONGO WOTE UGHAIBUNI NA NYUMBANI   WISHING YOU A BLESSED EID!!!! WABONGO UGHAIBUNI