WATANZANIA SIKU WALIYOMUAGA MAREHEMU TWAHIR HUSSEN OMAR MJINI NAPOLI
Baadhi ya Watanzania waliotoka miji ya mbali na Napoli. Pichani alieinamia meza ni Ramadhan Mavumbi akiwa katika majonzi baada ya kusoma wasifu wa marehemu Twahir. Baadhi ya Watanzania waliotoka mji…








