TANZIA
Wabongo ughaibuni tumepokea taarifa za msiba mzito wa kiongozi wetu , mzee wetu, raisi msataafu BENJAMIN WILLIAM MKAPA kwa masikitiko makubwa. tunaungana na Watanzania wote nyumbani na duniani kote katika…
Wabongo ughaibuni tumepokea taarifa za msiba mzito wa kiongozi wetu , mzee wetu, raisi msataafu BENJAMIN WILLIAM MKAPA kwa masikitiko makubwa. tunaungana na Watanzania wote nyumbani na duniani kote katika…
Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jen (Mst) Gaudence Milanzi tarehe 25 May 2020 alisimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya Watanzania na raia kadhaa wa nchi hiyo…
Kama tunavyojua wenzetu walio safiri wameshafika Tanzania sasahivi wanalula Bata. Kwa wale watakaohitaji kurejea Tanzania naomba muwasilishe majina yenu kwenye namba ya whatsapp ama SMS +1 (802) 231-3037Au Bonyeza Link…
The United Republic of Tanzania Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation Diaspora objective is to create conducive environment to engage the Tanzania Diaspora to effectively contribute to political,…
One of the most important legacies of the transatlantic slave trade and also of colonial rule in Africa and the Caribbean has been the creation of the modern African diaspora…
Edith Peter Oyebade Mtanzania mkazi wa London UK, analima pilipili Tanzania na kuuza London, pamoja na pilipili sasa anapeleka mboga za majani za kitanzania. Kama uko London na unataka kula…
Wakiwa katika Mkutano wa Diaspora na Mtoto wake wakiuza Kahawa ya Tanzania Edith Peter Oyebade MTanzania mkazi wa London UK pamojakujihusisha na biashara ya pilipili,lakini pia kahawa,tangawizi( ginger) na ndizi(…
Dada Edith Peter Oyebade ni diaspora mkazi wa London Uingereza anajishughulisha na ujasiriamali wa kilimo cha pilipili Yuko London Leyton hana Duka kwa sababu mzigo wake ana supply kwa jumla…