MSIBA NORWAY
Tangazo la msiba Oslo/Nesodden. Mwenyekiti wa Chama Cha Watanzania Oslo, Dr. Tito Sendeu Tenga anasikitika kutangaza kifo cha Abraham Jengo, mtoto wa Raphael Jengo wa Nessoden, Akershus, Norway. Mazishi yatafanyika…
MZEE YUSSUF IN ATHENS 24/9/2011
Pichani Mzee Yussuf akitoa burudani mjini Athens Greece. WABONGO UGHAIBUNI
TANGAZO
BLOG YETU INAPENDA KUWATANGAZIA KUWA BADO TUNAHITAJI AUTHOR ZAIDI KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI KWA AJILI YA KUWEKA HABARI KATIKA BLOG HII MUHIMU KWA WALIO UGHAIBUNI NA NYUMBANI .TAFADHALI WASILIANA NASI MARA…
TANDEN Party – 1st of October
TANDEN inawakaribisha wote kwenye party itakayofanyika siku ya Jumamosi tarehe 1 Oktober pale Studenterklubben, Panam institute, bygning 9 Blegdamsvej 3b, 2200 København N. Muda: 17:30hrs – 03:30hrs.Kiingilio: 100kronerChakula kitakuwepo. English———–Tanzanians…
Tanzanians in the Diaspora (DICOTA) Convention,2011
more photo click here WABONGO UGHAIBUNI
TMTV – TANZANIA MUSIC TELEVISION
Tanzania Music Television (TMTV) ni TV ambayo unaweza kuiona online na ambayo inalenga kukuburudisha kwa njia ya mtandao na DECODER. TMTV itazinduliwa hivi karibuni pindi maandalizi yatakapokuwa tayari. Kwasasa waweza…
JE UNAMJUA Sensei RUMADHA FUNDI ”Romi”(Sandan)
Sensei Rumadha Fundi maarufu kwa jina la SENSEI ROMI. Kwa kweli ni jambno la kufurahisha na kujivuni sana kuwa Tanzania tunao watu ambao wamebobea katika sanaa ya kujilinda au mapambano…








