MZEE YUSSUF IN ATHENS 24/9/2011
Pichani Mzee Yussuf akitoa burudani mjini Athens Greece. WABONGO UGHAIBUNI
Pichani Mzee Yussuf akitoa burudani mjini Athens Greece. WABONGO UGHAIBUNI
BLOG YETU INAPENDA KUWATANGAZIA KUWA BADO TUNAHITAJI AUTHOR ZAIDI KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI KWA AJILI YA KUWEKA HABARI KATIKA BLOG HII MUHIMU KWA WALIO UGHAIBUNI NA NYUMBANI .TAFADHALI WASILIANA NASI MARA…
TANDEN inawakaribisha wote kwenye party itakayofanyika siku ya Jumamosi tarehe 1 Oktober pale Studenterklubben, Panam institute, bygning 9 Blegdamsvej 3b, 2200 København N. Muda: 17:30hrs – 03:30hrs.Kiingilio: 100kronerChakula kitakuwepo. English———–Tanzanians…
more photo click here WABONGO UGHAIBUNI
Tanzania Music Television (TMTV) ni TV ambayo unaweza kuiona online na ambayo inalenga kukuburudisha kwa njia ya mtandao na DECODER. TMTV itazinduliwa hivi karibuni pindi maandalizi yatakapokuwa tayari. Kwasasa waweza…
Sensei Rumadha Fundi maarufu kwa jina la SENSEI ROMI. Kwa kweli ni jambno la kufurahisha na kujivuni sana kuwa Tanzania tunao watu ambao wamebobea katika sanaa ya kujilinda au mapambano…
SEE RECORDS ya mjini Napoli Italy imetengeneza video kadhaa katika kipindi cha miezi miwili mjini Daressalaam. Moja ya video ni ya msanii chipukizi na mwenye umri mdogo sana katika game…
Mtandao wa WABONGO UGHAIBUNI KWA niaba ya WATANZANIA WOTE UGHAIBUNI imezipokea taarifa za ajali kwa masikitiko makubwa tunachukua nafasi hii kuungana na Ndugu na jamaa pamoja na Taifa zima kuwa…
UZAMAJI WA MELI YA MV SPICE ISLANDERS 1. Jumuiya ya watanzania ugiriki inachukua nafasi hii kutoa pole na kuelezea masikitiko na huzuni za watanzania wote wa hapa kwa ndugu na…
PRESS STATEMENT a. In an outrageous cable reported by Wikileaks, the former US Ambassador to Tanzania, Michael Retzeris reported to have said in his cable reports that President Jakaya Mrisho Kikwete has accepted…