RAIS WA IPU DKT. Tulia Ackson ASHIRIKI KIKAO CHA KUANDAA AZIMIO LA MATUMIZI YA AI.
Geneva Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameshiriki na kufungua Kikao cha Kamati ya kuandaa…
KATIBU WA NEC SIASA NA UHUSIANO WA KIMATAIFA AKUTANA NA DIASPORA TURKEY
Istanbul TURKEY WU® MEDIA NDUGU RABIA ABDALLA HAMID MJUMBE WA KAMATI KUU AONGOZA KIKAO KAZI NA VIONGOZI WA DIASPORA NCHINI UTURUKI . Ndugu Rabia Abdalla Hamid Mjumbe wa Kamati Kuu…
DARASA LA KISWAHILI CHUO KIKUU CHA JOAQUIM CHISSANO
Maputo , MSUMBIJI Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe. Phaustine Kasike alikutana na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Joaquim Chissano, Prof. José Magode katika Ofisi za Chuo Jijini Maputo tarehe…
WAZIRI MAKAMBA AELEZA MCHANGO WA DIASPORA NA FAIDA ZA HADHI MAALUMU
WU®MEDIA 2024Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ameeleza sababu za mchango wa Watanzania waishio nje ya nchi (diaspora) kuwa mdogo huku akieleza namna “hadhi…
TIMU YA MASUMBWI YATUHESHIMISHA TANZANIA NCHINI GHANA
Medali tatu🥉🥉🥉 Timu kurejea Tanzania kesho saa 9.40 usiku Kikosi cha Timu ya Taifa ya Ngumi ya Tanzania almaarufu kama “Faru Weusi wa Ngorongoro” wamefanikiwa kuiheshimisha Tanzania katika michezo ya…
SHAMBULIO LA KIGAIDI URUSI
MOSCOW RUSSIA BREAKING NEWS: BBC: Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na shambulio la Moscow yafikia 115 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali shambulio la kigaidi lililotekelezwa…
MAKUMBUSHO YA DR KWAME NKURUMAH
Na Mwandishi Wetu ZAIN ACCRA GHANA Waghana wanamkumbuka, wanamsheherekea na wanajifunza kuhusu Kwame Nkurumah kila siku, na wanaingiza pesa nyingi pia kwa kutumia ukumbusho huo wa rais wao wa kwanza.…
MPANGO WA MATTEI TANZANIA ITALY SASA RASMI
TANZANIA, ITALIA ZAAINISHA SEKTA ZA KIPAUMBELE MPANGO WA MATTEI WU®MEDIA Serikali ya Tanzania na Serikali ya Italia zimekutana na kuainisha sekta za kipaumbele zitakazo nufaika na mpango mpya wa kimkakati…
TANGAZO KUTOKA UBALOZI WA TANZANIA AFRIKA KUSINI (SOUTH AFRICA)
NDUGU WA MTANZANIA PICHANI WANATAFUTWA


















