WAZIRI MKUU MH MAJALIWA AONGEA NA WATANZANIA NCHINI KOREA YA KUSINI
WU® MEDIA Seoul, Korea ya Kusaini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi Watanzania wanaoishi ughaibuni kuwa mabalozi wazuri kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi wanazoishi ili kujenga taswira nzuri…
















