Riyadh, Saudi Arabia:WAZIRI JAFO: TANZANIA IMEJIDHATITI KATIKA KUJENGA UCHUMI WA KIJANI
Saudi Arabia Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Selemani Jafo amesema kuwa Tanzania imejidhatiti katika kujenga uchumi wa kijani na kuzingatia uhifadhi wa mazingira.…

















