BREAKINGNEWS: MBUNGE WA NGORONGORO MH OLE NASHA AFARIKI
Na Mwana Habari wetu Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Naibu Waziri ofisi ya Waziri mkuu Uwekezaji Mh. William Tate Ole Nasha amefariki akiwa nyumbani kwake jijini Dodoma.Taarifa zaidi tutawaletea…


















