Jicho la Uledi: WANACCM TUMESHINDWA “KUMLINDA” MWENYEKITI WETU NA RAIS WA JMT?
George Michael Uledi.Kyela,Mbeya.Septemba 16,2021. Kuna wakati fulani niliwahi kufundishwa kitu fulani nikiwa sehemu fulani kwenye kozi ya uongozi”military leadership” kwamba wajibu wa mfuasi ni kumlinda kamanda wako dhidi ya “mashambulizi”…


















