MZEE JUMBE TAMBAZA MWENYE MZIZIMA
Huyu ndiye mwenye Mzizima yake sasa Anaitwa mzee Jumbe wa Tambaza, ambaye zama za kale kabla ya kuwepo kwa Dar es Salaam, alikuwa mmiliki wa eneo lote lililoitwa Mzizma. Yani…
Huyu ndiye mwenye Mzizima yake sasa Anaitwa mzee Jumbe wa Tambaza, ambaye zama za kale kabla ya kuwepo kwa Dar es Salaam, alikuwa mmiliki wa eneo lote lililoitwa Mzizma. Yani…
Migogoro ni sehemu ya maisha, jifunze kuishi nayo, huwezi basi kaishi kaburini kwenye amani ya milele! Denis Mpagaze! Dunia ina tisha. Dunia ni hatari kuliko nyoka mwenye sumu kali. Ukizubaa…
Umetoa 113,000.00 Tsh. Kwa wakala: HENRY MWASHIGALA.Makato Tsh 6,130.00( Ada Tsh 3,600.00 + Kodi Tsh 2,530.00).Salio Jipya Tsh 870.00. Muamala No: CO210716.1408.B05841 Ni vizuri binadamu tukaishi kwa mifano kwa ajili…
George Michael Uledi.Kyela,Mbeya.July 15,2021. Ilikuwa usiku wa kifo kwangu na wenzangu zaidi ya mia mbili, kamwe sitosahau na mara zote hii huwa ni “life unforgettable death experience”, baada ya kuanza…
Na Dr Yahya Msangi Togo -West Africa Kuna masomo ubaoni Lakini hatutaki kuyasoma. Namheshimu sana Mzee Warioba. Lakini naye hasomi ubao. Na inashangaza maana mzee huyu aliwahi kuwa: waziri mkuu…
George Michael Uledi.Kyela,Mbeya.July 13,2021. Ukitaka kupima uchumi wa Taifa fulani au Nchi fulani ni uchumi wa kisasa au uchumi wa kizamani,angalia soko la bima katika uchumi husika!Uchumi ambayo hauambatani na…
Msanii na mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya alifika katika Banda la maonyesho ya Sabasaba, jijini Dar es salaam na kupata nafasi ya kufahamu kuhusu huduma na bidhaa mbalimbali tunazotoa kwa…
Rest in Peace Habari zilizo tufikia kutoka Dubai zinasema,Baharia wa kitanzania amefariki kwa kuanguka ghafla akiwa kazini nchini Dubai tarehe 7/7/2021Marehemu anaitwa Ahmed Liganduka, anatokea Goms, yaani (GONGO LA MBOTO…
BREAKING NEWSNa mwandishi wetu SA.WU.JOHANNESBURG SOUTH AFRICAHabari zilizo tufikia kutoka Afrika ya Kusini mjini Johannesburg,Watu wawili waliotambulika kama Watanzania wameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuvamia nyumba moja mjini hapo…